tangazo

Saturday, October 13, 2012

Askofu Malasusa Awatuliza Wakristo Mbagala


 Askofu mkuu wa KKKT Alex Malasusa akiwaasa wakristu kuwa watulivu wakati huu wakati mamlaka za dola zikishughulikia swala hili,wakati huu wadumu katika maombi na wawasamehe ndugu zao waislamu. na kuwaombea.Mungu atawapigania



waumini wakiwa katika maombi na huyu akilia kwa uchungu
Mchungaji wa TAGP akiongoza maombi wakristo wakiwaombea waislamu.Mpaka muda huu hakuna kiongozi yeyote wa serikali ameshafika eneo la matukio na uongozi wa kanisa unawasubiria viongozi wa kiserikali

No comments:

Translate