tangazo

Saturday, October 13, 2012

Hatimaye Mkuu Wa Wilaya Temeke Afika Eneo La Matukio Mbagala

 Mkuu wa wilaya ya temeke akiwa kanaisa lililoharibiwa kwenye vurugu  za waislamu jana

 FFU
 Akijibu hoja za waamini.wameomba wapewe ulinzi na serikali iwajibike kujenga kanisa kwani polisi walizembea kuzuia waislamu waliokuwa wakifanya vurugu kwa awamu tatu bila polisi kudhibiti hali hiyo
 Kamanda wa mkoa wa Temeke
Yupo kazini

No comments:

Translate