tangazo

Friday, August 31, 2012

Waziri ataka maelezo kuhusu kesi ya Marikana

Waziri wa sheria wa Afrika Kusini ametaka ufafanuzi zaidi kuhusu wachimba migodi 270, walioshtakiwa kwa kosa la mauaji ya wachimba migodi wenzao waliouawa kwa kupigwa risasi na polisi.

Waziri Jeff Radebe alisema kuwa uamuzi wa kuwafungulia mashtaka wachimba migodi hao, uliwashtua wengi na kusababisha wasiwasi miongoni mwa watu nchini humo.

Inaarifiwa viongozi wa mashtaka waliwafungulia mashtaka wachimba migodi hao kwa misingi ya kanuni za kosa la kutendwa kwa nia moja ambayo ilitumika sana wakati wa enzi ya ubaguzi wa rangi.

Uamuzi huo tayari umekashifiwa vikali na mawakili ya kikatiba.

Katika taarifa yake, waziri Radebe, alisema kuwa kulingana na katiba , waziri wa sheria ndiye ana usemi mkubwa juu ya mamlaka ya kitaifa kuhusu mashtaka.

Alisema kuwa ameagiza kiongozi wa mamlaka hiyo kumpa maelezo kuhusu sababu za uamuzi waliouchukua.

Polisi waliwapiga risasi wachimba migodi 34 wiki mbili zilizopita wakati wa mgomo wao katika mgodi wa madini ya Paltinum wa Marikana , unaomilikiwa na kampuni ya Lonmin, ambayo ni ya tatu kwa ukubwa wa
 uzalishaji wa madini hayo.
Mgomo wa wachimba migodi

Watu wengi walighadhabishwa na mauaji hayo.

Hata hivyo polisi walitetea hatua yao wakisema walilazimika kuwafyatulia risasi wachimba migodi hao, walipokuwa wanakabiliana nao wakiwa wamejihami kwa mapanga.

Sita kati ya wachimba migodi hao 270 waliokamatwa na polisi wangali hospitalini wakiuguza majeraha yao.

Walifunguliwa mashtaka siku ya Alhamisi baada ya viongozi wa mashtaka kusema kuwa walikuwa miongoni mwa kundi la watu ambao vitendo vyao vilisababisha polisi

Bei ya vyakula yapanda duniani


 
                   Nafaka

Bei ya vyakula duniani ilipanda kwa asilimia kumi mwezi Julai na kusababisha hofu ya bei ghali ya vyakula barani Afrika.

Taarifa hii ni kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa na benki ya dunia.

Ripoti hiyo imesema kuwa wimbi la joto lililokumba Marekani pamoja na ukame katika baadhi ya maeneo ya Mashariki mwa Ulaya ndio chanzo kikubwa cha kupanda kwa bei hizo.

Bei ya nafaka kama vile mahindi ,ngano na maharagwe ndio ilipanda pakubwa kulingana na ripoti hiyo.

Benki hiyo sasa imeonya kuwa nchi ambazo hununua nafaka kutoka nje ndizo zitaathirika pakubwa.

Kuanzia mwezi Juni hadi Julai mwaka huu, bei ya mahindi ilipanda kwa asilimia 25 wakati bei ya maharagwe aina ya soybean ikipanda kwa asilimia 17. Ni bei ya mchele pekee ilishuka kwa asilimia nne.

Nchini Marekani, ukame ulioripotiwa na kutajwa kuwa mbaya zaidi kuwahi kushuhudiwa katika miaka ya karibuni, ulisababisha uharibifu wa mahindi na maharagwe wakati nchini Urusi, Ukraine na Kazakhstan, ngano iliharibika sana.

Benki ya dunia pia imesema kuwa hatua ya kutumia mahindi kuzalisha mafuta inawezekana ni mojawapo ya sababu ya kupanda kwa bei ya mahindi nchini Marekani.

Nchi hiyo hutumia aslimia arobaini ya zao lake la mahindi kutengeza mafuta yanayotokana na mimea.

Kwa jumla, ripoti ya benki ya dunia kuhusu bei ya vyakula ambayo hufanyia utafiti bei ya vyakula duniani, iligundua kuwa bei ilipanda kwa asilimia sita zaidi mwaka huu ikilinganishwa na mwaka jana.

Scott Sinclair ajiunga na Man City



 Huenda akaichezea Man City katika mechi dhidi ya QPR siku ya Jumamosi



Scott Sinclair ameihama klabu ya ligi kuu ya Premier ya Swansea, na kujiunga na Manchester City, kwa kutia saini mkataba wa miaka minne.

Klabu hiyo ya Wales awali ilikataa pauni milioni 6.2 kutoka kwa Man City, lakini hatimaye baada ya nyongezanyongeza, hatimaye kwa jumla Man City ikafikisha pauni milioni 8.

Sinclair, mwenye umri wa miaka 23, hivi majuzi aliichezea Uingereza katika mashindano ya Olimpiki, na huenda akawa katika kikosi cha meneja Roberto Mancini ambacho kitapambana na Queen Park Rangers siku ya Jumamosi.

"Ninafurahi sana kwamba yote yametulia, na sasa mimi ni mchezaji wa City....ni vigumu hata kusubiri," alielezea Sinclair.

"Kulikuwa na nyakati ambazo nilifikiria hayo hayatawezekana, kwa hiyo nimeridhika kwamba hatimaye nimefika hapa."

"Kucheza ukiwa na baadhi ya wachezaji maarufu zaidi ulimwenguni ni jambo ambalo linasisimua. Wakati unapotizama ratiba na kuona mechi mbili dhidi ya Real Madrid katika ligi kuu ya klabu bingwa, basi unahisi ukweli wa yote haya."

Meneja wa Swansea, Michael Laudrup, alisema "Scott anaelekea kwa klabu kubwa ambayo ina wachezaji maarufu. Yeye ana maarifa mengi, lakini itabidi ashindanie nafasi ya wachezaji 11 watakaokuwa uwanjani mara kwa mara."

Sinclair zamani alikuwa akiichezea timu ya is England ya vijana chini ya umri wa miaka 21, na alianzia Bristol Rovers, kabla ya kujiunga na Chelsea.

Lakini baada ya kutoweza kushirikishwa katika mechi mara kwa mara katika uwanja wa Stamford Bridge, alihama kwa mkopo katika timu ya Plymouth, na pia kuzichezea QPR, Charlton, Crystal Palace, Birmingham na Wigan, kabla ya Swansea kuamua kumchukua mwezi Agosti, mwaka 2010, kwa pauni 500,000.
Sinclair alicheza mechi 82 chini ya klabu ya Swansea, na alifunga magoli 28.

Uchaguzi wa rais na wabunge Angola

                                                        Wafuasi wa chama tawala MPLA  

 Wananchi wa Angola wanapiga kura kumchagua rais mpya pamoja na wabunge wapya katika uchaguzi wa pili nchini humo tangu vita vya wenyewe kwa wenyewe kumalizika muongo mmoja uliopita.

Vituo vingi vya kupigia kura katika mji mkuu Luanda, vilifunguliwa mapema licha ya hofu kuzuka kuhusu utaratibu wa usafirishaji wa vifaa.

Chama cha zamani cha waasi, Unita, ambacho sasa ndio chama rasmi cha upinzani, kilitoa wito wa kuakhirishwa kwa uchaguzi huo kikidai kuwepo changamoto nyingi zitakazoathiri uchaguzi huo.

Rais Jose Eduardo dos Santos, mwenye umri wa miaka 70, anatarajiwa kushinda uchaguzi huo na kuongoza kwa muhula mwingine wa miaka mitano. Amekuwa akiitawala nchi hiyo tangu mwaka 1979.

Uchumi wa Angola umeweza kuimarika tangu mwaka 2002, baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe kumalizika. Vita hivyo viliathiri pakubwa nchi hiyo ilipoanza kujitawala mwaka 1975.

Lakini upinzani unasema kuwa ni wachache tu walioweza kunufaika kutokana na uchumi huo.
Uchaguzi huo pia ni wa kwanza kufanyika chini ya katiba mpya ambayo iliharamisha uchaguzi wa moja kwa moja wa rais.

Badala yake kiongozi wa chama kinachopata viti vingi vya bunge ndiye anakuwa rais.

Uchaguzi huu bila shaka ni hatua muhimu kwa Angola wakati ikiimarisha demokrasia na amani na ikitaka kuonekana kama nchi inayoweza kuendesha uchaguzi wake kwa njia mwafaka.

Hakuna anayetarajia kuwa chama tawala cha MPLA kitashindwa. Hii ni kwa sababu ya kampeini zake kubwa ambazo kilifanya pamoja na kuwa ni chama tawala, hatua ambayo inakipa nafasi nzuri ya kushinda kuliko vyama vingine.

Ikiwa uchaguzi utakumbwa na dosari zozote basi huenda vyama vya upinzani havitakubali matokeo ya uchaguzi na huenda kukazuka vurugu.

Wananchi wa Angola bado wana kumbukumbu za matukio ya baada ya uchaguzi wa mwaka 1992 uliogombaniwa sana na ambayo yaliirejesha nchi hiyo katika vita vya wenyewe kwa wenyewe. Wadadisi wanasema kuwa nchi hiyo ingetaka kuzuia kabisa jambo kama hilo kutokea tena.

Manchester City signs Inter defender Maicon

The Brazilian is reunited with his former boss at Eastlands.

Maicon festeggia dopo il goal al Genoa (Coppa Italia)

Reporter revealed on Wednesday that the Premier League champion was stepping up its attempts to sign the Brazil fullback, with the Serie A club having now confirmed that the 31-year-old is joining Roberto Mancini's side.
Maicon spent six years at Inter, winning four Serie A titles as well as the Champions League, under Jose Mourinho in 2010, during a successful spell in Italy.
The former Cruzeiro star is reunited with Roberto Mancini, who initially signed the Brazilian from Monaco back in 2006.

With deals for Maicon and Scott Sinclair already completed, City have also confirmed that they have finalised a deal to take goalkeeper Richard Wright to the Etihad Stadium, a move that was exclusively revealed by Goal.com on Thursday.
Reporter understands that Mancini is also in the market for Benfica midfielder Javi Garcia, as well as Fiorentina defender Matija Nastasic ahead of the transfer window closing on Friday night.

AC Milan signs De Jong from Manchester City

                                                               Nigel De Jong

 The Dutch enforcer has sealed his switch to San Siro on deadline day, and is looking forward to getting starting with the Rossoneri after a frustrating time at the Etihad
The Dutch defensive midfielder revealed that playing for the Rossoneri has been a childhood dream of his, and is looking forward to seize the opportunity. 

He also challenged his new teammates to compete for honours both domestically and abroad - saying the quality of the squad is good enough to fight on all fronts.

"I'm happy, AC Milan is a great club and they are a new important chance for me in my life," he told Sky Sports Italia.

"Everyone knows AC Milan's history. Everyone wants to play for AC Milan as a child. With this team we can compete both in Italy and in Europe, we have so many good players."

AC Milan CEO Adriano Galliani has praised his club's recent moves in the transfer markets, and told coach Massimiliano Allegri that only winning Serie A would be an acceptable return on this summer's spending.

"We think De Jong is one of the best defensive midfielders in Europe," he told TV 7 Gold.

"We believe we are making a good last market week with Niang, Bojan and De Jong. We thank president Silvio Berlusconi, who again has built a competitive AC Milan to win the Scudetto.

"[AC Milan coach, Massimiliano] Allegri has to worry now because our goal is no longer the third place, but the first. Among the players arrived in Italy from abroad, De Jong is the best."


Berbatov joins Fulham from Manchester United



Fulham has officially completed the signing of Manchester United striker Dimitar Berbatov on a two-year contract.

Despite a last-ditch attempt from former club Tottenham to hijack the deal earlier on deadline day, the 31-year-old has put pen to paper on a deal at Craven Cottage that will run until 2014.

Speaking to his new club's official website, Berbatov said: “I’m delighted to have signed for Fulham and I look forward to playing under Martin Jol once again.

"As soon as I was aware of Fulham’s interest my decision to join was an easy one to make. I’m impressed with the set up here and the people have made me feel welcome. There is a close and personal feel around the club and I can’t wait to get started.”

Jol was delighted at his capture of the Bulgarian, speaking of his admiraiton for the player's talents.

“Dimitar is a player I’ve always admired. He did well for me at Spurs and I’m sure that he will do well here at Fulham," he said. "He is a player of great quality and technical ability who will give me the attacking option I’ve been looking for. When he’s not scoring goals, his ingenuity often leads chances being created for his team-mates.

"I’m delighted that we’ve been able to convince him to come to us, as there was a lot of attention from other clubs.”

In comfirming the sale of Berbatov, Manchester United released a farewell statement wishing the player well after he spent four seasons at Old Trafford.

The statement, which praised the striker, read: "An artist as much as a sportsman, Berbatov delighted in making football beautiful.

"He took as much pleasure in setting up goals as he did scoring them, although he will probably be best remembered by United fans for a historic hat-trick against Liverpool – the first by a Red in 64 years – in 2010-11."

Group stage set for 2012-13 UEFA Champions League

Group D will be one to watch with Real Madrid, Manchester City, Ajax and Borussia Dortmund shaping it.

UEFA revealed this year's full Champions League group stage with Group D emerging as the clear Group of Death, as Real Madrid, Manchester City, Ajax and Borussia Dortmund will fight it out for two spots towards the Round of 16.


Jermaine Jones and Schalke 04 will be grouped in a good Group B that features Arsenal, French champs Montpellier and Olympiakos. Sacha Kljestan and Anderlecht will face Milan, Zenit and Malaga in Group C. Michael Parkhurst will be in Group E as Nordsjaelland will face Chelsea, Shakhtar and Juventus.

Chicharito's Manchester United will head Group H, facing Braga, Galatasaray and Cluj. Andres Guardado and Valencia squares off against Bayern Munich, Lille and BATE.

The Champions League group stage draw in full:

GROUP A
PORTO
DINAMO KIEV
PARIS SAINT-GERMAIN
DINAMO ZAGREB

GROUP B
ARSENAL
SCHALKE
OLYMPIAKOS
MONTPELLIER

GROUP C
AC MILAN
ZENIT
ANDERLECHT
MALAGA

GROUP D
REAL MADRID
MANCHESTER CITY
AJAX
BORUSSIA DORTMUND

GROUP E
CHELSEA
SHAKHTAR DONETSK
JUVENTUS
NORDSJAELLAND

GROUP F
BAYERN MUNICH
VALENCIA
LILLE
BATE BORISOV

GROUP G
BARCELONA
BENFICA
SPARTAK MOSCOW
CELTIC

GROUP H
MANCHESTER UNITED
BRAGA
GALATASARAY
CLUJ

Thursday, August 30, 2012

Dunia imepuuza hali ya Mali


 Mjumbe maalum wa umoja wa mataifa wa haki za binadamu Valerie Amos amesema kuwa dunia imeshindwa kuwajibikia hali ya hatari kwa usalama wa raia wa Mali, ambako zaidi ya watu nusu milioni wametoroka makwao kutokana na vita.

Bi Valerie Amos, ambaye amekuwa akizuru kambi za wakimbizi ametoa wito wa msaada zaidi na ufadhili kuongezwa baada ya jamii ya kimtaifa kukusanya tu nusu ya pesa zinazohitajika kukabiliana na hali nchini     humo.

Bi Amos yuko katika ziara ya siku tatu nchini Mali kujionea hali na athari za mzozo baada ya mapinduzi ya kijeshi mwezi Machi.

Tangu hapo, wapiganaji wa kiisilamu wa kabila la Tuareg wameteka maeneo ya kaskazini mwa Mali.

Mwandishi wa BBC David Loyn, ambaye yuko katika msafara wa Amos, anasema kuwa mzozo huo umeathiri pakubwa nchi hiyo na kufanya rasilimali kuwa dunia kabisa.

Juhudi za kutoa msaada katika eneo la kaskazini zimeathirika kutokana na mapigano.

Bei ya juu ya vyakula pamoja na kipato cha chini zimesababisha hali ngumu kwa wananchi wa Mali.
Serikali mpya ya muungano, iliundwa katika mji mkuu Bamako,mwishoni mwa wiki ikiahidi kuleta mageuzi na utahibiti katika maeneo ya kaskazini mwa nchi.

Wapatanishi kutoka muungano wa nchi za magharibi ECOWAS, wamefanya mazungumzo na wapiganaji hao, na hata kupeleka wanajeshi elfu tatu nchini Mali ikiwa ni sehemu juhudi za amani hazitazaa matunda.

Wapiganaji wa Tuareg waliteka eneo la kaskazini baada ya rais Amadou Toumani Toure kupinduliwa mwezi Machi.

Wachimba migodi kufunguliwa mashtaka


                                              Wachimba migodi wa Marikana waliokamatwa

 Wendesha mashtaka wa serikali nchini Afrika Kusini wanasema kuwa wanajianda kuwafungulia mashtaka ya mauaji wachimba migodi wa mgodi wa Marikana.

Ripoti zinasema pia, wachimba migodi hao, wanakabiliwa na mashtaka mengine ikiwemo jaribio la mauaji ya wachimba migodi thelathini na wanne ambao waliuawa kwa kupigwa risasi na polisi.

Msemaji wa ofisi ya kiongozi wa mashtaka nchini humo, amesema ikiwa watu, ambao baadhi yao wamejihami wakiwakabili polisi na kutokee mauaji, wale watakaoshikwa na polisi watafunguliwa mashtaka ya mauaji, bila kujali wale waliofyatua risasi.

Polisi waliwapiga risasi wachimba migodi hao kufuatia ghasia na maandamano kuhusu mishahara.
Maafisa wawili wa polisi waliuawa kwenye machafuko hayo.

Real Madrid 2-1 Barcelona (Agg: 4-4): Madrid wins on away goals




Real Madrid has claimed the 2012 Supercopa after a gripping 2-1 second-leg victory over Barcelona in their Santiago Bernabeu clash on Wednesday.

Los Blancos triumphed on away goals after the tie finished 4-4 on aggregate, but it should have been a much wider margin after a shambolic defensive start from Tito Vilanova's men.

A missed clearance from Javier Mascherano saw Gonzalo Higuain gifted the opener, and an outrageous move from Cristiano Ronaldo on Gerard Pique put him in position to make it 2-0 after 19 minutes.

Adriano's red card just before half an hour seemed to signal the the end of Barca's hopes, but Lionel Messi dragged the club back to its feet with a fantastic free kick on the stroke of halftime.

The second half was far more tense as a much-improved Barca had chances to score again, but there was no way back for the visitors as Madrid hung on to claim the first trophy in Spain this season.


Pepe returned from a concussion to start alongside Sergio Ramos in defense, but there was no place for new signing Luka Modric, who began the game on the bench.

An injury to Dani Alves during the warmup forced Tito Vilanova to draft Jordi Alba in at left back, with Adriano shifting to the opposite flank. Carles Puyol was another notable absentee after fracturing a cheekbone in the 2-1 win over Osasuna on the weekend.

The Barcelona captain may have well had a thing or two to say after a dreadful defensive opening that saw Madrid storm into a two goal lead after 20 minutes.

Mascherano had already allowed Higuain to slip past him for an early one-on-one that was saved by Victor Valdes, and the Argentine gifted his compatriot an even greater chance in the 11th minute, when his missed attempt at a clearance allowed the striker to steal in and slot home the opener.

It went from bad to worse for Barca eight minutes later, as Madrid struck again after pouncing on another lapse at the back. Pique was left bamboozled by a heel flick from Ronaldo, who advanced on goal and had time to steady himself before blasting in via the leg of Valdes.

Valdes was called into action once more to deny Higuain, who was again able to get behind the defense, while Madrid saw a third goal questionably disallowed for an infraction after Pepe nodded in a free kick.

The visiting side was all at sea, and the chances seemed to be virtually extinguished just before the half hour mark when Adriano was shown a straight red card for pulling down Ronaldo on a clear break towards goal for the Portuguese.

Vilanova was forced to throw on Martin Montoya for Sanchez in a bid to shore up his defense as Madrid continued to dominate. Sami Khedira’s volley was thwarted from point blank range by Valdes, before a last ditch challenge from Mascherano halted Higuain as he bore down on goal.

However, there were a few signs of life from Barca as the first half drew to a close. Montaya came within inches of connecting with Andres Iniesta’s low cross, and then, in stoppage time, a moment of magic from Messi gave the visitors a fighting chance.

The Argentine took charge of a free kick after Xavi was felled 30 yards from goal, and bent a breathtaking effort around the wall, past the outstretched arm of Iker Casillas and into the back of the net.

Still, Madrid nearly responded in the dying embers of the first half. Ronaldo’s 35-yard drive bounced inches wide, and Higuain also narrowly missed, after cutting onto his left foot deep inside the area.

Barca headed into the break knowing that it still had a lot of work to do, and looked to wrest control from the home side as the second half unfolded.

Madrid seemed content to sit back and protect the advantage, which allowed the Blaugrana the chance to dictate proceedings with their famed tiki-taka football.

Their improved endeavor was almost rewarded on the hour mark, after a searching ball from the back by Mascherano was taken in stride brilliantly by Pedro, who saw his shot met by an equally fantastic save from Casillas.

The Spanish forward had another opening moments later after sneaking in on the right, but Casillas was again alert to stop him from poking home at the near post.

Madrid was far from ruthless, but still harbored a significant threat on the break. Khedira nearly scored a third after beating multiple defenders en-route to goal, but Valdes was able to block strongly.

Alba was thwarted at the last by a great challenge from Ramos, before Higuain was allowed through on goal for the umpteenth time, but could not finish the chance as his effort bounced off the base of the post.

Late openings appeared for both sides, but no more goals were forthcoming as Madrid held on to claim the Supercopa, and set the pace for what is sure to be a enthralling season in Spain.

Walcott will stay at Arsenal, insists Wenger

The England winger has yet to pen an extension to his current contract, which expires in under 12 months, but his manager will refuse to sell him before the window closes.

Walcott has yet to sign an extension to his current contract which expires next June, alerting the likes of Manchester City and Liverpool.

Arsenal faced a similar scenario earlier this summer and eventually chose to sell Robin van Persie to Manchester United, rather than risk losing him on a free next summer.

Wenger, however, is adamant that the England winger will not be sold to the highest bidder before Friday evening’s transfer deadline and is hopeful that a resolution to the contract negotiations that collapsed last week can be found.
 

“Theo has one year to go. We want to extend his contract. I think Theo loves the club." he said.

“He is not obsessed by money, there is just a little difference [in the negotiations].”
 

Berbatov on verge of Fulham move after medical

                                     Dimitar Berbatov

 The Bulgarian will take a wage drop to join the Cottagers while Martin Jol is confident of also securing a deal for Kieran Richardson from Sunderland.
Dimitar Berbatov is on the verge of completing a move to Fulham after undergoing a medical with the Craven Cottage outfit, as confirmed by manager Martin Jol.

Fulham owner Mohamed Al-Fayed is ready to back Jol with a marquee signing following the sale of fan favorite Mousa Dembele to Spurs for 15 million pounds and the likelihood that Clint Dempsey will move before the end of the window.

Berbatov was top scorer in the Premier League two seasons ago but made just 12 league appearances last season, scoring seven goals.

Jol has confirmed that the club is also confident of signing Kieran Richardson from Sunderland before the transfer window closes on Friday.

Black Cats boss Martin O'Neill confirmed that the Wearside outfit had accepted a fee for the wide man on Wednesday with the 27-year-old in the final year of his contract.
 

Monday, August 27, 2012

Boko Haram kwenye mazungumzo na serikali



                                     Abubakar Shekau kiongozi wa kundi la Boko Haram

 Serikali ya Nigeria imeelezea kuanza mazungumzo na kundi la wapiganaji wa kiisilamu la
Boko Haram kwa lengo la kujaribu kumaliza mashambulizi makali yanayofanywa na kundi hilo mara kwa mara nchini Nigeria.

Msemaji wa rais ameelezea kuwa mazungumzo yalikuwa yanafanywa kwa njia zisizo rasmi ingawa hakutoa maelzo zaidi.

Hata hivyo viongozi wa kundi hilo mwanzoni mwa wiki walielezea kuwa hawako tayari kwa mazungumzo ya amani na serikali.

Boko Haram,kundi ambalo linataka kuundwa kwa jimbo litakalofutuata sheria za kiisilamu , linatuhumiwa sana kwa kuua mamia ya watu na kisha kushambulia makanisa na maeneo mengine ya umma.

"mazungumzo yanayofanyika yanaendelea kwa faragha kwa lengo la kuelewa nini hasa matakwa ya kundi hili na nini hasa kinachoweza kufanyika kuhakikisha mzozo huu unakomeshwa" alisema msemaji huyo Reuben Abati.

Aliongeza kuwa lengo hasa la mchakato huu ni kutafuta amani na uwiano na kuhakikisha nchi inaendelea kuwa thabiti.

Msemaji huyo aliongeza kuwa baadhi ya wanachama wa kundi hilo ndio wanaohusika na mazungumzo hayo. Boko Haram, ambalo maana yake ni kuharamisha masomo ya kigeni, linajulikana kwa vitendo vyake vingi vya kigaidi.

Kwa mujibu wa duru za habari nchini Nigeria, hili ndio itikio la kwanza rasmi la serikali ya Nigeria kuthibitisha kuwepo mazungumzo kati ya kundi hilo na maafisa wa serikali.

Juhudi za mapema za kufanya mazungumzo na kundi hilo ziligonga mwamba pindi zilipozungumziwa tu kuanza.

Nigeria imegawanyika hasa mara mbili, upande mmoja kwa waisilamu wengi wanaoishi maeneo ya Kaskazini na upande mwingine kwa wakristo wanaoishi maeneo ya kusini.

Ghasia Mombasa baada ya Aboud Rogo kuuawa


                                                          Ghasia Mombasa  

 Ghasia zimezuka mjini Mombasa baada ya mhubiri wa kiisilamu ambaye pia alikuwa mshukiwa wa kufadhili kundi la wanamgambo la Al shabaab nchini Somalia, Aboud Rogo, kuuawa kwa kupigwa risasi mjini Mombasa pwani mwa Kenya.

Mtu mmoja inaarifiwa ameuawa na wengine kujeruhiwa katika mtaa wa Mejengo kufuatia makabiliano kati ya polisi na mamia ya watu walioghadhabishwa na kitendo cha kuuawa kwa bwana Rogo ambaye alikuwa mhubiri wa kiisilamu mjini Mombasa

Hali ingali tete wenye maduka wakilazimika kuyafunga maduka yao na watu kukimbilia usalama wao katika mtaa wa Majengo katika maeneo ya kati ya mjini Mombasa.

Inaarifiwa Aboud Rogo,alipigwa risasi asubihi ya leo na kuaawa wakati alipokuwa akimpeleka mke wake hospitalini katika mtaa wa Bamburi mjini Mombasa.Watu wamechoma magari na hata kuvamia maduka huku hali ya wasiwasi ikitanda polisi nai wakifanya kila hali kuweza kutuliza mambo.

Duru zinaarifu kuwa huenda Rogo aliuawa na polisi ingawa ripotio hizi bado hazijathibitishwa.
Aboud Rogo

Anasemekana alipigwa risasi akiwa ndani ya gari lake ambalo lilikuwa limewabeba watu wengine sita, alizikwa baadaye saa za mchana.

Vile vile Rogo alikuwa anakabiliwa ka kesi ya umiliki haramu wa silaha ambapo polisi walidai kuwa alikuwa na njama ya kushambulia kanisa moja la kikatoliki mjini humo.

Aboud Rogo Mohammed alikuwa kwenye orodha ya Marekani na ile ya Umoja wa mataifa ya watu wanaosaidia katika harakati za kundi la wanamgambo wa kiisilamu nchini Somalia la al-Shabab

Kulingana na ripoti ya umoja wa mataifa, Rogo alisaidia kundi la al-Shabab kusajili makurutu wapya. Pia alikuwa anakabiliwa na madai ya njama ya mashambulizi dhidi ya kanisa moja mjini Mombasa.

Kwa mujibu wa taarifa, bwana Rogo alipigwa risasi wakati akiendesha gari lake katika mtaa a Bamburi mjini humo.

Aboud Rogo Mohammed aliwekwa nwenye oriodha ya Marekani ya watu waliowekewa vikwazo mwezi Jilai,kwa kujihihusisha vitendo vyinavyohujumu amani na usalama nchini Somalia.
Wapiganaji wa al Shabaab
Baraza la usalama la umoja wa mataifa lilimwekea vikwazo vya usafiri na pia kupiga tanji mali zake mwezi Julai, wakisema kuwa alitoa ufadhili wa kifedha, usafiri na kusaidia kundi hilo kwa vifaa vya kisasa.

Ilimtuhumu kwa kuwa kiongozi maalum wa vuguvugu la al- Hijra nchini Kenya ambao pia wanajulikana kama Muslim Youth Center, ambalo linatazamiwa na wengi kama lililo na uhusiano wa karibu na al-Shabab.

Umoja wa mataifa ulisema kuwa bwana Rogo alitumia kundi hilo kama njia moja ya kuwatia watu kasumba ya siasa kali hasa wanaoongea lugha ya kiswahili kwa lengo la kufanya mashambulizi ya kigaidi.

Osasuna 1-2 Barcelona: Messi double earns comeback victory





Barcelona escaped from the Estadio El Sadar with a 2-1 victory over Osasuna in their La Liga encounter on Sunday.

The Blaugrana were second best for much of the game, and fell behind in the 17th minute to a goal from Joseba Llorente.

Their woes continued in the second half as Osasuna kept them on the back foot, while coach Tito Vilanova was sent to the stands in the 73rd minute for protesting to the linesman.

However, a controversial equalizer from Lionel Messi brought them back into the match in the 76th minute, and Osasuna captain Patxi Punal was sent off for protesting the goal.

The Argentine would pop up once again four minutes later to poke home the winner, and give the Catalans a win that they scarcely deserved, after a spirited and purposeful performance from the home side.

With sunlight beating down over Estadio El Sadar, Barcelona was slow getting out of the blocks, and had Victor Valdes to thank for denying Alvaro Cejudo from close range inside the opening two minutes.

Andres Iniesta would create danger at the other end, teeing up Tello, who saw his effort touched by Andres Fernandez onto the post.

However, just when it looked like the Blaugrana were beginning to get into their stride, Osasuna would bring them back down to earth with the opener after 17 minutes.

Roland Lamah was the architect, whipping in a dangerous cross from the left that was side-footed in by Llorente, who ghosted in behind Jordi Alba at the far post.

Tello saw a close-range shot saved by Fernandez and Iniesta should have found the target after latching on to Sanchez’s cutback from 12 yards out, but the chances did not mask Barca’s struggles in attack, as it failed to connect with many of its passes.

Its difficulties at the back were even more pronounced, as Osasuna looked dangerous every time it attacked. The home side came very close to a second, as the lively Lamah saw his drive parried by Valdes, and Llorente blocked twice by Gerard Pique from the rebound.

However, Barca had a chance to draw level just before the break. A quickly worked free kick from Cesc Fabregas found Messi in range, but his initial attempt was saved by Fernandez, who also recovered in time to smother Iniesta’s follow-up.

The visitors’ problems continued as the second-half unfolded, and another defensive lapse almost cost them dear just before the hour mark. Carles Puyol’s sloppy pass was pounced on by Sisi, whose low angler towards the corner was tipped wide by Valdes.

Moments later, Sergio Busquets would almost gift Osasuna a second goal, after he was stripped of possession by Nino just outside the box, who bent his finish onto the post from point blank range.

In the 73rd minute, Vilanova was sent to the stands for arguing with the linesman on the sidelines. However, just when Osasuna were at their most dangerous, a moment of controversy undid all their hard work and brought Barcelona back into the game.

Punal was obstructed by referee Fernandez in the middle, but play was allowed to continue, allowing Barca to deliver into the Osasuna area. The hosts were not able to clear, and Sanchez was able to poke to Messi, who stroked home from six yards out.

Osasuna protested an offside call on Sanchez to no avail, and Punal was given his marching orders in the confusion. Within four minutes of the restart, matters became even worse for the home side as Barcelona struck again.

A sweeping move from the visitors saw Alba drive a low cross towards Messi inside the area, and the Argentine did not hesitate, side-footing past Fernandez to put his side into the lead.

Osasuna could not muster a response, and Barca held on to claim a priceless three points, in a win that they barely warranted.

Getafe 2-1 Real Madrid: Barrada strikes to stun champions




 Goal from the Moroccan and Juan Valera cancel out Gonzalo Higuain's first half strike to heap misery on Los Blancos


Real Madrid has handed a five-point lead to Barcelona at the top of the Spanish Primera Division after succumbing to a 2-1 defeat at the hands of Getafe at the Coliseum Alfonso Pérez on Sunday evening.

Los Blancos took the lead halfway through the first half, but a two-goal salvo in the second period and a plucky performance from the hosts left Jose Mourinho's men without a win in their opening two games of the campaign.

Madrid cames within inches of opening the scoring 15 minutes into the match when Mesut Ozil and Cristiano Ronaldo exchanged a couple of neat one-two's inside the Getafe box. The ball came back to the German six yards out and with the goal gaping he smashed a shot against the crossbar.

Ronaldo had the opportunity to take center stage five minutes later with a couple of free kick attempts towards Miguel Angel Moya. The Getafe goalkeeper had to be at his best for the second as it bounced wickedly a few yards from goal, but the 28-year-old kept concentration to palm the ball to safety.

Jose Mourinho's men eventually took the lead through a well-worked goal just before the 30-minute mark. Angel Di Maria dropped into a pocket of space just in front of the Getafe defense and slid a pass through to Gonzalo Higuain, who showed intelligence to ride the challenge of Alexis and take the ball past Moya before smashing home from a tight angle.

The battle between Moya and Ronaldo continued, and once again the Getafe goalkeeper came out on top just before the break. The Portguese had cut inside from the left-hand side and lashed a shot at goal from the edge of the box, only to be denied by a solid save.

The hosts came out of the blocks quickly in the second half, and with an added impetus in their play, managed to level the game in the 53nd minute. Abdel Barrada was the provider as he whipped in a cross from the right flank for Juan Valera at the back post, who powered a header past the rooted Iker Casillas.

Ronaldo tested Moya yet again in the 70th minute when he drifted into a central area and flicked up the ball on the edge of the box, but his snatched volley bobbled into the hands of the Getafe goalkeeper, with the Real Madrid man cutting a frustrated figure.

Jose Mourinho looked to be going for broke, with the introduction of Karim Benzema in place of Diarra, but the added space in dangerous areas for Getafe lead to the hosts taking the lead fifteen minutes from time. Substitute Adrian Colunga left Albiol for dead down the left and drove forward before sliding a pass inside to Barrada who took a touch then smashed the ball past Casillas.

This result leaves Real Madrid 14th in the league with just one point taken from the opening two matches. Getafe has earned its first win of the season and move on to three points in the Spanish Primera Division.

Kocha wa Kuwait apigwa risasi




Polisi ya Serbia inasema kuwa kocha wa timu ya Taifa ya Kuwait Goran Tufegdzic ameuawa kwa kupigwa risasi nchini mwao Serbia na hali yake imesemekana ni mbaya.

Polisi katika mji wa Pozarevac ulio katikati mwa nchi wamesema kuwa Bw.Tufegdzic alipigwa risasi ya kifua siku ya ijumaa baada ya ugomvi na jirani juu ya kipande cha ardhi. Baada ya hapo alimpiga risasi na kukimbizwa hadi hospitali ya mjini Belgrade.

Tufegdzic, ambaye amefanya kazi huko Mashariki ya kati kwa takriban miaka kumi aliteuliwa kama kocha wa Kuwait mwaka 2009. Aliiwezesha timu hio kufuzu kushiriki kombe la mataifa ya bara Asia la mwaka 2010 na kuisaidia kushinda kombe la mataifa ya Ghuba la mwaka 2010.

Mwenyekiti wa chama cha mpira cha Kuwait Sheik Talal Al-Sabah anasema kuwa amezungumza na mke wa kocha huyo na ana matumaini atapata nafuu na kwamba familia yake itaweza kupitia kipindi hiki kigumu''

KUMBE MATESO YA VENGU WACHAWI NI WENZIE WA ORIGINAL COMEDY NDIO CHANZO.

MUIGIZAJI Joseph Shamba ‘Vengu’, ameugua kwa muda mrefu. Ukitazama tukio la msanii huyo kuumwa, unaweza kuhisi kuwa wenzake kwenye kundi hilo walikuwa pamoja naye. Si kweli, wao ndiyo sababu ya mateso yake.

Vengu hajawahi kuwa na furaha akiwa na Kundi la Orijino Komedi. Wenzake walimtenga na kumfanyia mambo mengi ya kuumiza. Maskini ya Mungu, Vengu akaona kujipoza na machungu ya kutengwa, kunyanyaswa na wenzake ni kuwa mlevi.

Makala haya, shabaha yake ni kuwafanya Orijino Komedi kuwa wamoja. Wajione kwamba kila mmoja kwenye kundi hilo ana haki sawa. Si kubaguana na kutendeana mambo ya kuumiza kama alivyotendwa Vengu kwa muda mrefu.

Kama memba wengine wa Orijino Komedi, Isaya Mwakilasa ‘Wakuvwanga’, Mjuni Silvery ‘Mpoki’, Lucas Mhuvile ‘Joti’, Emanuel Mgaya ‘Masanja’ na Alex Chalamila ‘McRegan’ wangemfanya Vengu kuwa sehemu ya maisha yao, asingeteseka kama ilivyotokea.

Ingewezekana kabisa kwa memba wa kundi hilo kumpa faraja, badala ya kumtenga na kumsababishia aishi kwa mawazo. Kitendo cha kumbagua kilisababisha aone pombe ndiyo kimbilio lake. Kabla hajazidiwa, alipenda kulewa akiamini ndiyo faraja yake.

Mimi na Vengu tumewahi kufanya vikao kadhaa na kuzungumzia yale yanayomsibu. Alipenda sana kuficha ukweli unaomuumiza kwamba kuna baadhi ya wasanii wenzake wanamtenda ndivyo sivyo. Maskini Vengu, namuombea kwa Mungu azidi kumpa afua, apone kabisa.

Mungu mwingi wa rehema zote, kubwa na ndogo, atamponya Vengu. Bila shaka atarudi kwenye hali yake ya kawaida. Ninaamini kuwa hata hali yake ya kutawaliwa na msongo wa mawazo, itapona. Hatakuwa mlevi tena kama ilivyokuwa mwanzo.

Ugonjwa wa Vengu una matawi mengi. Kwa nafasi yangu ya uandishi wa habari pendwa, nilinasa taarifa za awali kuhusu kuumwa kwa Vengu. Kuna baadhi ya watu hawakutaka kuelewa chochote zaidi ya kushikilia kwamba msanii huyo ameshughulikiwa na wenzake.

Yupo msanii mmoja wa Kundi la Orijino Komedi alitajwa mno. Hata hivyo, hilo la uchawi sikulipa nafasi ndiyo maana hata habari hiyo hatukuwahi kuiripoti. Sisi Global Publishers tumestaarabika, hatuamini uchawi. Nilimshauri mtoa habari akazanie huduma za hospitali.

Wakati huo Vengu amelazwa Hospitali ya Taifa, Muhimbili. Mara kadhaa nyakati za jioni, nilikutana na mtoa habari za uchawi (kwamba msanii wa kundi hilo kamroga Vengu). Kwa busara, nikawa namshauri taratibu ili aondokane na imani hizo. Nauchukia ushirikina.

Hata hivyo, wakati mwingine inakuwa rahisi kupata picha kuwa mtindo wa maisha ya wasanii hao dhidi ya mwenzao ndiyo sababu ya kuibuka kwa hisia za uchawi. Wangempenda na kumjali siku zote ndani ya kundi hilo, asingehisi kama anarogwa. Ndugu na rafiki zake, wasingewahisi vibaya wenzake.

Sijawahi kusikia malalamiko kutoka kwa ndugu zake wakisema Vengu amerogwa. Zaidi marafiki ndiyo walikuwa wakieneza habari hizo. Inawezekana kwa marafiki kwa sababu ndiyo aliochangia nao mazungumzo na hata vikao vya baa.

Bila shaka, hata wale marafiki zake waliokuwa hawataki kuelewa kwamba Vengu anaumwa na siyo uchawi, leo hii watakuwa mashahidi. Kwa wakati ule, kuna mtu (simtaji jina kwa sasa), alinishutuma kwamba mimi ni muoga, eti kwa sababu nilisema sitaandika habari ya Vengu kurogwa.

Awamu nyingine niliambiwa nimehongwa. Tuhuma zote hizo nilizibeba kwa sababu sikutaka niwaridhishe watu kwa muda, nikasahu maumivu ya baadaye itakapothibitika kwamba niliandika habari ya uongo ambayo sitaweza kuitetea. Siku zote uchawi hauthibitishiki.

 Wakati mwingine nilicheka kwa sababu sikumuona mwenye ubavu wa kunihonga kuzuia habari hiyo. Nilikataa habari kwa maana ingeweza kuibua matokeo mabaya. Kusema Vengu amerogwa kwa hali aliyokuwa nayo, ni uchochezi usiovumilika.

Unaweza kumuona Vengu ni wa kawaida kwako, lakini kwa wengine (hususan wazazi na ndugu zake) ni kila kitu kwao. Kuandika Vengu amerogwa, siyo tu ingeibua chuki kati ya ndugu zake na wasanii wa Orijino

Komedi, bali pia ndugu wangeweza kumtorosha kumpeleka kwa ‘babu’.
Sisi Global huwa tunaangalia maeneo yote hayo kabla ya kuchapisha habari zetu. Hekima hizo ndizo zimetufikisha hapa tulipo. Kila habari inapimwa kwenye mzani, pumba zinawekwa pembeni halafu ukweli unatangulizwa mbele.

Leo ninapogusia uchawi, namaanisha kwamba wasanii wa kundi hilo wanatakiwa kuishi vizuri. Wasitengane, kwani hali hiyo ndiyo chanzo cha kuibua hisia mbaya miongoni mwao. Orijino Komedi wanapaswa kujirudi kwa Vengu.

Je, unajua kwamba wakati wasanii wa kundi hilo wakiwa bado wanafanya kazi zao kwenye Televisheni ya Channe 5 (EATV), walipewa nyumba ya kuishi na Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi? Nyumba hiyo ipo Kunduchi, Dar es Salaam.

Vengu alifukuzwa kwenye nyumba hiyo, akiwaacha wenzake wanatanua. Habari hiyo iliandikwa, kumbukumbu tunazo. Haikuishi hapo, walipohamia TBC1, walipewa magari lakini baada ya muda mfupi,
Vengu alinyng’anywa gari, akawa anatembea kwa daladala, wenzake wana magari yao.

Utakubaliana na mimi kwamba wasanii wenzake walimpa unyonge mkubwa kiasi kwamba mwenyewe akawa hana la kutuliza akili zaidi ya kunywa pombe. Tuna mlolongo wa matukio mengi ya msanii huyo kuharibikiwa baada ya kuzidiwa na kiwango kikubwa cha pombe alichokunywa. Ametendwa sana!
 
Imeandaliwa na Luqman Maloto

Neil Armstrong died


                                                                      Neil Armstrong                                       




 (Reuters) - U.S. astronaut Neil Armstrong, who took a giant leap for mankind when he became the first person to walk on the moon, has died at the age of 82, his family said on Saturday.

Armstrong died following complications from heart-bypass surgery he underwent earlier this month, the family said in a statement, just two days after his birthday on August 5.

As commander of the Apollo 11 mission, Armstrong became the first human to set foot on the moon on July 20, 1969. As he stepped on the dusty surface, Armstrong said: "“That's one small step for (a) man, one giant leap for mankind."

Those words endure as one of the best known quotes in the English language.

The Apollo 11 astronauts' euphoric moonwalk provided Americans with a sense of achievement in the space race with Cold War foe the Soviet Union and while Washington was engaged in a bloody war with the communists in Vietnam.

Neil Alden Armstrong was 38 years old at the time and even though he had fulfilled one of mankind's age-old quests that placed him at the pinnacle of human achievement, he did not revel in his accomplishment.

He even seemed frustrated by the acclaim it brought.
"I guess we all like to be recognized not for one piece of fireworks but for the ledger of our daily work,"

Armstrong said in an interview on CBS's "60 Minutes" program in 2005.

He once was asked how he felt knowing his footprints would likely stay on the moon's surface for thousands of years. "I kind of hope that somebody goes up there one of these days and cleans them up," he said.

A VERY PRIVATE MAN
James Hansen, author of "First Man: The Life of Neil A. Armstrong," told CBS: "All of the attention that ... the public put on stepping down that ladder onto the surface itself, Neil never could really understand why there was so much focus on that."

The Apollo 11 moon mission turned out to be Armstrong's last space flight. The next year he was appointed to a desk job, being named NASA's deputy associate administrator for aeronautics in the office of advanced research and technology.

Armstrong's post-NASA life was a very private one. He took no major role in ceremonies marking the 25th anniversary of the moon landing. "He's a recluse's recluse," said Dave Garrett, a former NASA spokesman.

Hansen said stories of Armstrong dreaming of space exploration as a boy were apocryphal, although he was long dedicated to flight. "His life was about flying. His life was about piloting," Hansen said.

Born August 5, 1930, in Wapakoneta, Ohio, Armstrong was the first of three children of Stephen and Viola Armstrong. He married his college sweetheart, Janet Shearon, in 1956. They were divorced in 1994, when he married Carol Knight.

Armstrong had his first joyride in a plane at age 6. Growing up in Ohio, he began making model planes and by his early teens had amassed an extensive aviation library. With money earned from odd jobs, he took flying lessons and obtained his pilot's license even before he got a car license.

In high school he excelled in science and mathematics and won a U.S. Navy scholarship to Purdue University in Indiana, enrolling in 1947. He left after two years to become a Navy pilot, flying combat missions in the Korean War and winning three medals.

FLYING TEST PLANES
After the war he returned to Purdue and graduated in 1955 with an aeronautical engineering degree. He joined the National Advisory Committee on Aeronautics (NACA), which became NASA in 1958.

Armstrong spent seven years at NACA's high-speed flight station at Edwards Air Force Base in California, becoming one of the world's best test pilots. He flew the X-15 rocket plane to the edge of space - 200,000 feet up at 4,000 mph.

In September 1962, Armstrong was selected by NASA to be an astronaut. He was command pilot for the Gemini 8 mission and backup command pilot for the Gemini 11 mission, both in 1966.

On the Gemini 8 mission, Armstrong and fellow astronaut David Scott performed the first successful docking of a manned spacecraft with another space vehicle.

Armstrong put his piloting skills to good use on the moon landing, overriding the automatic pilot so he and fellow astronaut Edwin "Buzz" Aldrin would not have to land their module in a big rocky crater.

Yet the landing was not without danger. The lander had only about 30 seconds of fuel left when Armstrong put it down in an area known as the Sea of Tranquility and calmly radioed back to Mission Control on Earth, "Houston, Tranquility Base here. The Eagle has landed."

Aldrin, who along with Armstrong and Michael Collins formed the Apollo 11 crew, told BBC radio that he would remember Armstrong as "a very capable commander and leader of an achievement that will be recognized until man sets foot on the planet Mars."

Armstrong left the National Aeronautics and Space Administration (NASA) a year after Apollo 11 to become a professor of engineering at the University of Cincinnati.

DECLINES OFFERS TO RUN FOR OFFICE
After his aeronautical career, Armstrong was approached by political groups, but unlike former astronauts John Glenn and Harrison Schmitt who became U.S. senators, he declined all offers.

In 1986, he served on a presidential commission that investigated the explosion that destroyed the space shuttle Challenger, killing its crew of seven shortly after launch from Cape Canaveral in January of that year.

Armstrong made a rare public appearance several years ago when he testified to a congressional hearing against President Barack Obama administration's plans to buy rides from other countries and corporations to ferry U.S. astronauts to and from the International Space Station.

Armstrong also said that returning humans to the moon was not only desirable, but necessary for future exploration -- even though NASA says it is no longer a priority.
He lived in the Cincinnati area with his wife, Carol.

"We are heartbroken to share the news that Neil Armstrong has passed away," the family said in their statement. "Neil was our loving husband, father, grandfather, brother and friend."

His family expressed hope that young people around the world would be inspired by Armstrong's feat to push boundaries and serve a cause greater than themselves.

"The next time you walk outside on a clear night and see the moon smiling down at you, think of Neil Armstrong and give him a wink," the family said.

Obama said that Armstrong "was among the greatest of American heroes - not just of his time, but of all time. ...

"Today, Neil's spirit of discovery lives on in all the men and women who have devoted their lives to exploring the unknown - including those who are ensuring that we reach higher and go further in space. That legacy will endure - sparked by a man who taught us the enormous power of one small step."

Glenn, an original NASA astronaut with Armstrong, spoke of his colleague's humble nature. "He was willing to dare greatly for his country and he was proud to do that and yet remained the same humble person he'd always been," he told CNN on Saturday.

The space agency sent out a brief statement in the wake of the news, saying it "offers its condolences on today's passing of Neil Armstrong, former test pilot, astronaut and the first man on the moon."

Armstrong is survived by his two sons, a stepson and stepdaughter, 10 grandchildren, a brother and a sister, NASA said.

Some controversy still surrounds his famous quote. The live broadcast did not have the "a" in "one small step for a man ..." He and NASA insisted static had obscured the "a," but after repeated playbacks, he admitted he may have dropped the letter and expressed a preference that quotations include the "a" in parentheses.

Asked to describe what it was like to stand on the moon, he told CBS:
"It's an interesting place to be. I recommend it."
mshuwa.blogspot.com

HOTUBA YA RAISI WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MH JAKAYA MRISHO KIKWETE IKIHAMASISHA KUHUSU SENSA YA WATU NA MAKAZI.



 
 RAIS WA JAMUURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MH:J.R.KIKWETE

 Ndugu wananchi;
Imekuwa ni mazoea yetu kuwa Rais huzungumza na taifa kila mwisho wa mwezi.  Lakini, leo nazungumza nanyi siku saba kabla ya mwisho wa mwezi kwa sababu maalum.  Sababu yenyewe si nyingine bali ni Sensa ya Watu na Makazi itakayofanyika kwa siku saba kuanzia kesho Jumapili tarehe 26 Agosti, 2012. Shabaha yangu ni kutaka kuwakumbusha Watanzania wenzangu wote kuhusu wajibu wao wa kujitokeza kuhesabiwa siku hizo.  Naomba kila mmoja wetu ahakikishe kuwa anakuwepo kuhesabiwa na kujibu maswali yote yatakayoulizwa na makarani wa sensa kwa ufasaha. 
 
Ndugu wananchi;
Katika historia ya nchi yetu, Sensa ya mwaka huu itakuwa ni ya tano tangu Uhuru wa Tanganyika mwaka 1961, Mapinduzi ya Zanzibar ya tarehe 12 Januari, 1964 na kuzaliwa kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 26 Aprili, 1964.  Sensa nyingine zilifanyika mwaka 1967, 1978, 1988 na 2002.  Kumbukumbu zinaonesha kuwa kwa upande wa Tanzania Bara wakati  wa ukoloni zilifanyika Sensa mwaka 1910, 1931, 1948 na  1957.  Kwa upande wa Zanzibar wakati wa ukoloni na utawala wa Sultan kulifanyika Sensa mara moja mwaka 1958.
 
Ndugu Wananchi;
Kama ilivyokuwa kwa Sensa zilizotangulia, madhumuni makubwa ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012 ni kujua idadi ya watu,  mahali walipo, jinsia zao, umri wao, elimu, shughuli wazifanyazo, vipato vyao, upatikanaji wa huduma mbalimbali pamoja na makazi. Taarifa hizi hutumiwa na Serikali kupanga mipango ya maendeleo, kutengeneza programu mbalimbali na kubuni miradi ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii nchini.  Aidha, huisaidia Serikali kupanga na kupeleka huduma za kiuchumi na kijamii kwa wananchi kwa kuzingatia mahitaji halisi ya maeneo yao wanayoishi kwa mujibu wa idadi yao na mgawanyiko wao kijinsia, kiumri na huduma zinazohitajika.  Hivyo basi, idadi halisi isipojulikana kuna hatari ya wananchi kukosa huduma wanazohitaji kwa kiwango kinachostahili.  Vilevile, takwimu hizi hutumiwa na Serikali katika kufikia uamuzi wa kugawa majimbo ya uchaguzi na maeneo ya utawala kama vile mikoa, wilaya, kata, vijiji na vitongoji vipya.
 
Ndugu wananchi;
Pamoja na umuhimu huo wa jumla wa Sensa kwa maendeleo ya nchi yetu,  Sensa ya mwaka 2012 ina umuhimu wa aina yake.  Taarifa zake zitatumika kufuatilia na kutathmini utekelezaji wa Dira za Taifa za Maendeleo za Tanzania Bara na Zanzibar;  Mkakati wa Kukuza na Kupunguza Umaskini Tanzania Bara (MKUKUTA II); Mkakati wa Kupunguza Umaskini  Zanzibar (MKUZA II); na Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano wa 2011/12 – 2015/16. Vilevile taarifa zitakazopatikana zitatumika kupima maendeleo ya utekelezaji wa Malengo ya Milenia (Millenium Development Goals) yaliyowekwa na Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mwaka 2000. Kama tujuavyo, itakapofika mwaka 2015 ndicho kilele cha utekelezaji wa Malengo hayo hivyo kujua hatua tuliyofikia sasa itasaidia kujipanga vizuri katika miaka mitatu iliyosalia.

Ndugu Wananchi;
Pamoja na faida hizo, taarifa za Sensa hii zitasaidia kufanikisha zoezi linaloendelea sasa, la kuwapatia Watanzania vitambulisho vya taifa. Baadhi ya maswali yatakayoulizwa kwenye Sensa ya Watu na Makazi  yatasaidia katika kuhakiki maombi ya vitambulisho vya taifa. Bila ya shaka sote tunatambua vyema manufaa ya vitambulisho vya taifa, hivyo basi ndugu yangu, shiriki zoezi la sensa ili kuirahisishia Serikali kazi ya utoaji wa vitambulisho kwa raia wake.

Ndugu wananchi;
Shughuli yoyote kukabiliwa na changamoto mbalimbali ni jambo la kawaida.  Lakini, tofauti na miaka ya nyuma, Sensa ya mwaka huu imekabiliwa na changamoto ambazo hazijawahi kuwepo.  Kuna baadhi ya wenzetu wamekuwa wanafanya jitihada za makusudi za kutaka kulivuruga zoezi la Sensa nchini.  Wamekuwa wanawashawishi watu wasishiriki kuhesabiwa, kwa sababu ambazo baadhi yake hazina uhusiano wo wote na Sensa.  Zipo sababu nyingine ambazo hata haziingii akilini. Kwa mfano, wapo watu wanaodai kuwa hawatashiriki Sensa mpaka mjusi aliyeko kwenye Jumba la Makumbusho kule Berlin, Ujerumani atakaporudishwa.  Kinachozungumzwa hapa ni mabaki ya mifupa ya mnyama wa kale aliyekuwepo hapa nchini zaidi ya miaka milioni 200 iliyopita.  Mwaka 1906 wana sayansi wa Kijerumani waliyagundua mabaki hayo kule Tendaguru, Lindi, wakayafukua na kuyapeleka Ujerumani ambako yamehifadhiwa tangu wakati huo.

Ndugu Wananchi;
Kudai mifupa hiyo irejeshwe nchini si jambo baya, watu wataona wanyama wa kale waliokuwepo wakati huo wanafananaje.  Huenda pia kikawa kivutio cha utalii.  Hata hivyo, kugeuza kurejeshwa kwa mabaki hayo kuwa sharti la kushiriki Sensa ni jambo ambalo mantiki yake siielewi.  Watu wakisusia Sensa kwa sababu hiyo itakuwa siyo tu haieleweki wala haielezeki, bali hata watu wengine nchini na duniani watawashangaa.  Lakini, jambo ambalo ningependa wajiulize ni kuwa hivi hasa wanamsusia nani?  Mjerumani au wanajisusia wenyewe?  Hivi kweli mtu uko tayari kuacha manufaa yako ya maendeleo yapotee au yaathirike kwa sababu ya mjusi ambaye hata akirejeshwa huna manufaa ya moja kwa moja?  Hasara anapata nani sisi au wao?  Nawasihi, Watanzania wenzangu, tusiwasikilize watu wanaoeneza maneno yahusuyo Mjusi au mambo mengine ya upotoshaji na uvurugaji wa mambo yenye maslahi makubwa zaidi kwetu binafsi na nchi yetu.  Tuachane nao hawatutakii mema na wala hawaitakii mema nchi yetu.  Nawaomba tusitumie vibaya uhuru wa kutoa maoni.

Ndugu Wananchi;
Wapo ndugu zetu wengine wanaotaka liongezwe swali la dini ya mtu katika orodha ya maswali yatakayoulizwa katika Sensa ya mwaka huu.  Wahusika wakuu hasa ni baadhi ya viongozi na wanaharakati wa Kiislamu. Wao wanasema bila ya swali hilo kuwepo, Waislamu wasikubali kuhesabiwa.  Wamekuwa wanafanya juhudi kubwa ya kuwashawishi Waislamu wawaunge mkono katika msimamo wao huo.  Nimesoma baadhi ya nyaraka na vipeperushi vyao kuhusu madai hayo.  Nilipata pia bahati ya kukutana na kuzungumza na baadhi ya wanaharakati na viongozi wa harakati hizo.  Nia yangu katika kufanya hayo ilikuwa ni kutaka kuelewa kwa undani hoja na madai yao.  Yako mambo kadhaa yanayotajwa kama sababu, lakini ukweli ni kwamba jambo linaloweza kuhusishwa moja kwa moja na Sensa, ni lile la takwimu za idadi ya Waislamu, Wakristo na Wapagani zilizotolewa na Baraza la Maaskofu Katoliki, Shirika la Utalii na Shirika la Utangazaji Tanzania.

Hawazikubali taarifa hizo kwa hoja kwamba, Waislamu hawajawahi kuhesabiwa na watoaji wa takwimu hizo.  Kwa sababu hiyo hawaelewi ni kwa vipi watoe idadi ya kuwa ni asilimia fulani Watanzania.  Hawana ugomvi nao kuhusu takwimu za Wakristo na Wapagani kwani huenda waliwahesabu.  Kwa maoni yao, taarifa hizo si za kweli na ni upotoshaji unaofanywa maksudi kwa sababu wanazozijua watoaji wa taarifa hizo.  Ili kuondoa upotoshaji huo, wanaharakati na viongozi hao wa Waislamu wakataka swali la dini liwepo katika Sensa hii ili ukweli ujulikane.

Katika mazungumzo yangu na baadhi ya viongozi wa Waislamu niliwaambia kuwa naelewa sababu na hoja za wao kukasirishwa na kutokuzikubali takwimu hizo.  Vile vile, niliwaeleza kuwa takwimu hizo si za Serikali bali ni za mashirika hayo.  Nilisisitiza kuwa takwimu za Serikali kuhusu idadi ya watu hutolewa na Ofisi Kuu ya Takwimu na si chombo kingine chochote cha Serikali.  Bahati nzuri Ofisi Kuu ya Takwimu haijatoa takwimu hizo na wala siyo chanzo cha takwimu zilizotolewa na mashirika hayo.  Walikozipata wanajua wenyewe.  Taarifa hizo hazina ithibati yo yote na ndiyo maana zinatofautiana. Niliwasihi waachane nazo, wazipuuze na wakipenda watoe tamko la kuzikataa.

Ndugu Wananchi;
Niliwaambia pia kuwa kuelekeza lawama kwa Serikali kwa ajili ya taarifa hizo ni kuionea na kutoitendea haki.  Vile vile  kuibebesha dhima ya kuongeza swali la dini ili kuyajibu mashirika hayo ni kuipa mzigo usiostahili.  Napenda, kutumia nafasi hii kuwasihi wale wote wanaotoa takwimu za namna hiyo kutambua unyeti wake na kuepuka kufanya hivyo. Zinatuletea mifarakano isiyokuwa ya lazima kama ilivyo sasa.

Ndugu Wananchi;
Kwa upande wetu, yaani Serikali, imekuwa vigumu kukubali maombi ya kuliingiza swali la dini katika Sensa hii kwa sababu za kisera na kiutekelezaji.  Wakati wa ukoloni maswali ya rangi, dini na kabila la mtu yaliulizwa katika Sensa.  Baada ya uhuru, maswali hayo yaliulizwa katika Sensa ya kwanza ya mwaka 1967 kwa vile ilikuwa bado inafuata misingi ya kikoloni.  Baada ya hapo ulifanyika uamuzi wa kisera wa kutokuuliza maswali hayo kwani nia ya wakoloni kuuliza maswali yale ilikuwa ni kwa sababu ya sera yao ya wagawe uwatawale.  Walitoa huduma kwa ubaguzi, sera ambayo Serikali zetu ziliachana nayo baada ya Uhuru na Mapinduzi.  Huduma hazikuwa zinatolewa kwa ubaguzi wa rangi, kabila wala dini, bali kwa msingi wa haki ya uraia na ubinadamu wake.

Ndugu Wananchi;
Sera hiyo pia ilikuwa na lengo la kudumisha umoja na mshikamano wa taifa letu na watu wake.  Badala ya watu kubishana juu ya watu wa dini ipi ni wengi na hivyo kufarakana kwa kutokubaliana na takwimu zilizotolewa, sera mpya inawataka watu wajivunie uwingi wao kama Watanzania. 

Ndugu Wananchi;
Nionavyo mimi Sera hii ni nzuri na kwamba ulikuwa ni uamuzi wa busara na hekima kubwa.  Tuendelee kuidumisha na kuienzi.  Kufanya vinginevyo,  na hasa kuingiza sera ya kutoa huduma kwa misingi ya dini zetu  ni kuliingiza taifa letu ambalo lina sifa ya  amani, upendo na utulivu, katika migogoro isiyokuwa ya lazima.  Ni migogoro inayoweza kuepukika kwa kuenzi na kudumisha sera yetu hii  nzuri na sahihi.

Ndugu Wananchi;
Sababu ya pili inayotupa ugumu kiserikali ni ya kiutekelezaji.  Imechukua miaka kadhaa ya maandalizi mpaka kufikia hatua hii ya sasa ya kuwa tayari kutekeleza zoezi la Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012.  Isitoshe Sensa ya majaribio imeshafanyika kwa kutumia vifaa, madodoso na maswali yaliyopo na marekebisho kufanywa baada ya hapo.  Kuingiza mambo au jambo jipya sasa itakuwa viguku kiutekelezaji.  Kutachelewesha zoezi zima na kusababisha hasara kubwa kwa taifa.

Kwa vile watu wote hawataulizwa swali la dini na kwa kuwa dini si kigezo cha kutoa huduma kwa wananchi, hakuna ulazima wa kusisitiza swali hilo liwepo. Napenda kuwasihi ndugu zangu wanaokereketwa na jambo hili waache kuling’ang’ania na badala yake wajitokeze kuhesabiwa. Tujitokeze kuhesabiwa ili na Waislamu nao wawemo katika idadi ya wananchi wa Tanzania.

Ndugu Wananchi;
Sioni ulazima wa kuunda Tume Huru ya Sensa yenye uwakilishi sawa wa Wakristo na Waislamu.  Tangu mwaka 1931 kazi ya Sensa imekuwa inafanywa na Ofisi Kuu ya Takwimu nchini na ndipo ujuzi na maarifa yote yapo.  Hata ukiamua uiite Tume bado utawatumia watu hao hao, hivyo mabadiliko hayo hayana sababu.  Vile vile, sioni haja ya kuwa na mgao wa wafanyakazi wake kwa msingi wa dini kwa sababu Sensa siyo kwa ajili ya kujua Wakristo na Waislamu.   Huduma hazitolewi kwa misingi ya dini za watu.

Ndugu Wananchi;
Katika maelezo yao kwangu, hivi karibuni Kamishna wa Sensa, Hajat Amina Mrisho Said na Mtakwimu Mkuu wa Serikali ya Muungano, Mama Albina Chuwa walinieleza kwamba kwa kawaida katikati ya Sensa moja na nyingine, hufanyika utafiti wa kidemografia, yaani Demographic Survey.  Huu ni utafiti wa kina unaofanywa katika ngazi ya kaya ambapo taarifa za mambo mengi yahusuyo watu ambazo hazikusanywi, katika Sensa hukusanywa.  Mara ya mwisho utafiti huo kufanyika ilikuwa mwaka 1973, yaani baada ya Sensa ya mwaka 1967 na kabla ya ile ya mwaka 1978.  Ni makusudio ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu kuanzisha tena utaratibu huo mwaka 2016 ambapo baadhi ya masuala yaliyoachwa yanaweza kujumuishwa.  Subira yavuta heri.

Ndugu Wananchi;
Nimehakikishiwa na mamlaka zinazohusika kuwa maandalizi ya sensa yamefikia hatua nzuri na zoezi liko tayari kuanza siku ya Jumapili, tarehe 26 Agosti, 2012. Lakini, mafanikio ya zoezi lenyewe  yatategemea sana ushiriki wa watu ambao ndiyo walengwa na wadau wengine.    Naomba nitumie fursa hii kuwataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya na Wenyeviti na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri za Wilaya na Miji na wadau wengine wa kisiasa na kiutendaji wa ngazi mbalimbali waendelee  kusimamia utekelezaji wa shughuli zote za Sensa katika maeneo yao ya uongozi.  Hawana budi kuhakikisha kuwa zoezi linakuwa na mafanikio makubwa.  Wale wote wanaofanya vitendo vya kuvuruga zoezi hili wachukuliwe hatua stahiki za kisheria.

Nawaomba viongozi wa kisiasa na kijamii nao waendelee kuwahamasisha na kuwaelimisha wananchi kuhusu umuhimu wa kujitokeza kuhesabiwa na kushirikiana na Makarani wa Sensa watakapokuwa wanafanya kazi yao.  Wakumbusheni kukataa kuwasikiliza au kuwafuata watu wanaowashawishi wasijitokeze kuhesabiwa.  Watu hao si wema wao na wala hawaitakii mema nchi yetu.

Ndugu wananchi;
Nitakuwa mwizi wa fadhila kama sitawapongeza Hajat Amina Mrisho Said, Kamishna wa Sensa wa Tanzania Bara na Ndugu Mwalim Ameir, Kamisaa wa Sensa Zanzibar kwa kazi kubwa na nzuri wanayoendelea kuifanya ya kutoa uongozi wa kisiasa, kusimamia na kuratibu zoezi la Sensa nchini. Nawapongeza pia Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu na Mtakwimu Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar pamoja na watendaji wengine wa Sensa katika ngazi mbalimbali katika Mikoa, Wilaya, Majimbo, Tarafa, Kata, Mitaa, Vijiji  na Shehia kwa kazi nzuri ya matayarisho na uendeshaji wa Sensa ya mwaka 2012.  Nawatakia mafanikio mema katika kazi hii muhimu na adhimu kwa nchi yetu na watu wake.

Ndugu zangu, Watanzania wenzangu, nawaomba sote tuwaunge mkono ndugu zetu hawa kwa kushiriki katika zoezi la Sensa kuanzia siku ya Jumapili tarehe 26 Agosti, 2012.  Haya shime sote tujitokeze kuhesabiwa kwani kujitokeza kwetu ndiyo ukamilifu na mafanikio ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012.  Ewe Mtanzania mwenzangu shiriki Sensa   kwa maendeleo yako na ya taifa letu.

Mungu Ibariki Tanzania!
Mungu Ibariki Afrika!
Asanteni kwa kunisikiliza

RAGE AAHIDI KUMFIKISHA MAHAKAMANI TWITE AKIWASILI TANZANIA.

                                                              Mbuyu Twite.
 KLABU ya Simba kupitia kwa mwenyekiti wake, Ismail Aden Rage imeweka wazi kuwa haijalipwa fedha za usajili ambazo ilimpatia beki Mbuyu Twite, ambapo imesisitiza kuwa iwe isiwe lazima walipwe fedha zao walizompa mchezaji huyo ikishindikana watafuata sheria zote ikiwemo kumfikisha mahakamani.

Rage amesema kuwa watafuata sheria zote za soka ambapo kuonyesha wamepania kufanya hivyo tayari wameshawakilisha pingamizi la mchezaji huyo kuichezea Yanga kwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF),

kisha ikishindikana wataenda katika mahakama za kiraia licha ya kuwa Shirikisho la Soka la Fifa haliruhusu masula ya soka kupelekwa huko.

“Tujafahamu kuwa Fifa hairuhusu masuala ya soka kupelekwa katika mahakama za kawaida, lakini alichokifanya Mbuyu ni criminal case, kwani alichukua fedha zetu kwa ajili ya kufanya kazi na sisi lakini hakufanya hivyo.

“Wao wanasema eti alikuwa na mkataba wa Lupopo, ulishaona wapi mkataba wa miaka sita! Nimefurahi Championi mmeeleza ukweli juu ya kila kitu kilivyokuwa kuwa, ni kweli tulimpa dola 30,000, lakini atatakiwa kutulipa jumla ya dola 39,500, zikiwemo za usumbufu na nauli tuliyompatia wakati anasaini mkataba wetu.

“Yanga hawajafanya haki katika hili, hatutakubali, wasipoturudishia fedha zetu akifika nchini tunamfikisha kwenye vyombo vya sheria, hatutakubali. Wawaulize TP Mazembe, nilisema nimewashika pabaya na kweli ilikuwa hivyo.

“Hivyo katika hili, Yanga nimewashika pabaya na wasilete ujanjaujanja,” alisema Rage.

Saturday, August 25, 2012

WATCH LEKADUTIGITE VIDIO FROM KIGOMA ALL STARS.



Wachimba migodi waanza kurudi kazini

Kampuni ya migodi iliyokuwa chanzo cha mgomo wa ghasia Afrika Kusini, Lonmin, inasema kuwa wafanyakazi wake zaidi wamerudi kwenye mgodi wa Marikana, karibu na Rustenberg.
Polisi nje ya mgodi wa Marikana wakati wa mgomo

Juma lilopita wachimba migodi 34 waliogoma walipigwa risasi na polisi na kuuwawa, na kama 70 walijeruhiwa.

Serikali ya Afrika Kusini imeteua tume ya
majaji kuchunguza kilichotokea.

Lonmin inasema kuwa katika mgodi wa Eastern Shafts, huko Marikana, 57% ya wachimba migodi wako kazini Jumamosi.
Sehemu nyengine ya machimbo imefungwa kwa sababu ya mapumziko ya mwisho wa juma.

Kampuni inasema hali ni ya amani, na kwamba mazungumzo yanaendelea ili kushawishi wafanyakazi wote warudi kazini.

Lakini uchimbaji wa madini ya dhahabu nyeupe, platinum, ulisimamishwa kwenye mgodi huo zaidi ya majuma mawili yaliyopita kwa sababu ya mgomo, na bado kazi haikuanza.

Mazishi ya baadhi ya wachimba migodi waliokufa yamefanywa na mawaziri walihudhuria na kuahidi kuzisaidia familia za wachimba migodi hao.

Wakuu sasa wamethibitisha kuwa kati ya waliokufa, watano walikuwa wageni kutoka nchi za nje.

Gambia yaanza tena kunyonga wafungwa

Shirika la kimataifa la kutetea haki za kibinaadamu, Amnesty International, linasema limeambiwa kwamba Gambia imewanyonga wafungwa tisa kati ya 47 ambao wamehukumiwa kifo.
Rais wa Gambia, Yahya Jamme

Msemaji wa Amnesty, Lisa Sherman Nichols, aliiambia BBC kwamba wafungwa hao ni wa mwanzo kunyongwa nchini Gambia kwa miaka 29, na inasemekana alikuwako mwanamke kati yao, na wananchi watatu wa Senegal.

"Tumepata taarifa za kuaminika kuwa watu 9 walinyongwa jana usiku.

Nimezungumza na baadhi ya jamaa zao, ambao bila ya shaka wako kwenye majonzi, na wametuomba tuchukue hatua.

Wamegusia kuwa kuna wengine watanyongwa leo usiku.

Tunajaribu kuzitawanya habari hizi ulimwenguni na serikali ya Gambia inafaa kujua kuwa macho ya ulimwengu na serikali za nchi za nje yameelekezwa juu ya nchi hiyo."

Hapo awali, shirika la raia la nchi hiyo lilimlaumu rais wa Gambia, Yahya Jammeh, na lilisema kwamba wengi waliohukumiwa kifo ni wafungwa wa kisiasa.

Wahalifu wa Kichina wakamatwa Angola

Raia 37 wa Uchina wamerejeshwa nyumbani kutoka Angola, ambako walikamatwa kwa tuhuma za kufanya uhalifu dhidi ya Wachina wenzao.
Wahalifu wa Kichina wakiwasili kwao kutoka Angola
Uhalifu huo ni pamoja na utekaji nyara, kunyang'anya watu pesa, wizi kwa kutumia silaha, na kulazimisha wanawake wauze miili yao.

Kikosi maalumu cha polisi wa Uchina kilitumwa Angola kushirikiana na polisi wa huko dhidi ya magengi ya Wachina yaliomo Angola.

Wizara ya Uchina ya usalama inasema magengi 12 yalivunjwa.

Wizara hiyo ilisema hii ni mara ya kwanza kwa polisi wa Uchina kufanya msako mkubwa kama huo dhidi ya wahalifu wa Kichina katika bara la Afrika.

WAZIRI WA UCHUKUZI MWAKYEMBE AENDELEZA WIMBI LA KUTIMUA MAFISADI KATIKA MAMLA YA BANDARI.

WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe amemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Ephraim Mgawe, wasaidizi wake wawili na Meneja wa Bandari ya Dar es Salaam, Cassian Ng'amilo kupisha uchunguzi wa wizi wa vitu mbalimbali yakiwamo makontena 40 ya vitenge, katika Bandari ya Dar es Salaam.

Dk Mwakyembe alitangaza uamuzi wake huo jana jijini Dar es Salaam, akiendeleza kile alichokifanya Juni 5 mwaka huu alipomtimua kazi aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), Paul Chizi.

Hata hivyo, waziri huyo hakutaja majina ya vigogo waliosimamishwa na badala yake alitaja nafasi walizokuwa wakizishikilia ambazo ni pamoja na Meneja wa Kituo cha Mafuta ya Ndege Kurasini (Kurasini Oil Jet - KOJ), Meneja wa Kituo cha Mafuta JET na mhandisi wa mafuta wa kituo hicho, baada ya kubainika kuwapo kwa wizi wa mafuta.

Kutokana na uamuzi huo, Dk Mwakyembe amemteua Mkurugenzi wa Usalama na Mazingira katika Wizara ya Ujenzi, Injinia Madeni Kipande kukaimu nafasi ya Mgawe.

Gazeti hili lilimtafuta Mgawe kwa simu kuzungumzia uamuzi huo, lakini simu yake ya mkononi ilikuwa ikiita muda wote bila majibu na wakati mwingine kukatwa.

Uamuzi huo umekuja baada ya kuwapo kwa taarifa za kupotea kwa makontena takriban 40 ya vitenge na vitu mbalimbali, yaliyokuwa yakipelekwa nchi jirani.

Dk Mwakyembe alisema ameunda kamati ya watu saba ambao hakuwataja majina ili kuchunguza wizi huo na kwamba amewapa wiki mbili tu, wawe wamekamilisha kazi hiyo.

“Nimeunda kamati ya kuchunguza suala hili, nimewapa hadidu za rejea zenye maswali 50..., majina ya waliopo katika kamati hii siyatangazi kwa sasa kwa sababu zangu binafsi,” alisema Dk Mwakyembe.

Alisema amechukua uamuzi huo baada ya kukutana na Bodi ya Wakurugenzi ya TPA juzi na kwamba hawezi kuvumilia kuona nchi inakosa mapato kwa sababu ya wizi uliokithiri.

Alisema kwa muda mrefu katika bandari hiyo ya Dar es Salaam, kumekuwa na malalamiko ya wizi wa vitu mbalimbali, ikiwa ni pamoja na ule wa vifaa vya magari, mafuta na kukithiri rushwa.

Alifafanua kwamba wizi huo umesababisha Bandari ya Dar es Salaam kukimbiwa na wateja ambao hivi sasa wanatumia bandari za Kenya, Msumbiji na Afrika Kusini.

“Makontena yanaibwa kama njugu, hivi sasa watu wa Rwanda, Uganda DRC hawaitumii tena Bandari ya Dar es Salaam, wanaona bora waingie hasara na wameanza kupitisha mizigo yao katika Bandari ya Mombasa Kenya, Beira nchini Msumbiji na Durban Afrika Kusini,” alisema Dk Mwakyembe.

Dk Mwakyembe alisema kuwa hivi karibuni mfanyabiashara mmoja mwanamke alitishia kuhamia nyumbani kwake, baada ya kuibiwa kontena zima la vitenge vilivyokuwa na thamani ya dola 180,000 za Marekani.

“Ni mambo ya ajabu sana hatuwezi kuwa na maendeleo kwa masuala ya ‘kisanii’ kama haya, nimeamua hivi kutokana na mamlaka niliyonayo na uamuzi nitakaouchukua najua wenzangu watanielewa,” alisema.

Wakati akieleza majukumu ya Mamlaka hiyo alisema, “Nimewataka TPA watambue majukumu yao jinsi yalivyo nyeti, nimewaeleza wazi kuwa imani ya wananchi imepungua sana kwa mamlaka hiyo.

“Kama waziri mwenye dhamana sitakuwa tayari kuona jambo hili linaendelea, hili suala haliwezi kuachwa likaendelea ni lazima uchunguzi ufanyike.”

Dk Mwakyembe alisema kuwa ameiagiza bodi ya wakurugenzi, kitengo cha sheria TPA kiuchambue upya mkataba wa Kampuni ya Kupakia na Kupakua Makontena katika Bandari ya Dar es Salaam (Ticts) na kumpatia taarifa Jumatano ijayo.

“Kontena likiwa na vitenge hata ukiweka askari 40 linaondoka, tumepoteza wateja wengi na watu wanaona bora kukimbilia bandari nyingine, nimewaagiza wauchambue upya mkataba huu,” alisema Dk Mwakyembe.

Agizo

Alisema ili kukomesha rushwa ameitaka Bodi ya Wakurugenzi TPA, kuanzia Septemba mosi mwaka huu kuacha kutumia utaratibu wa kulipa fedha dirishani, badala yake fedha zote zilipwe kupitia benki.

“Mtindo wa malipo ya fedha dirishani ndiyo unachochea wizi unaofanywa na mtandao wa kisanii pale TPA. Nimeagiza malipo yote yafanyike kupitia benki au kwa njia zozote za teknohama kuanzia Septemba mosi,” alisema Dk Mwakyembe na kuongeza:

“Kama malipo haya yakiendelea mwezi ujao watakaolipa waandike tu wenyewe barua za kuacha kazi, kampuni ndogondogo nchini zinalipa fedha kupitia benki, kwa nini TPA washindwe?”

Aliongeza kuwa ameiagiza bodi hiyo kuangalia upya mfumo mzima wa uongozi wa TPA na bandari kwa kuwa kuna viongozi wana mamlaka makubwa wakati vyeo vyao ni vidogo.

“Meneja wa bandari ana mamlaka makubwa kiasi kwamba utendaji kazi ndani ya bandari unasuasua wakati wapo viongozi wa juu yake,” alisema Dk Mwakyembe.

Wizi wa mafuta

Akizungumzia wizi wa mafuta, Dk Mwakyembe alisema katika kituo cha KOJ kuna wizi mkubwa wa mafuta ambapo wahusika wakibanwa hutoa kisingizio kuwa mafuta yanayochukuliwa ni machafu.

“Mafuta yale siyo machafu, hiyo imekuwa ndiyo biashara yao kila mwaka, ndiyo maana tenda ya mafuta machafu inagombewa sana, tumefuatilia na kugundua kuwa yanapelekwa katika vituo mbalimbali vya mafuta nchini” alisema Mwakyembe na kuongeza:

“Niliwahi kwenda katika eneo lile saa 12 asubuhi na kukuta malori yanajaza mafuta. Niliuliza lori lina uwezo wa kupakia lita ngapi, kuanzia meneja mpaka watu wa chini kabisa walishindwa kunijibu.”

Alisema kutokana na kitendo hicho, amechukua sampuli ya mafuta hayo na kuyapeleka Mombasa, Kenya kuyapima ili kugundua yana kiwango cha mafuta masafi kwa asilimia ngapi.

Alisema kuwa malori hayo yana uwezo wa kupakia lita 26,000 za mafuta lakini wahusika wanadai kuwa yanaweza kupakia lita 9,000 tu.

“Mafuta haya huibwa wakati yakitolewa katika meli na kupelekwa katika magari, karibu asilimia mbili nzima ya mafuta huibwa, kiwango ambacho ni kikubwa sana,” alisema.

Alisema kutokana na hali hiyo ameagiza kurejeshwa kwa kifaa cha kupimia wingi wa mafuta katika malori ya mafuta, ndani ya mwezi mmoja kuanzia jana.

Aanika ufisadi

Alisema kampuni ya Singirimo iliyopewa zabuni ya kusafirisha mafuta machafu, mkataba wake ulishaisha siku nyingi, lakini bado inaendelea na kazi hiyo na kwamba mwaka 2008, Ikulu iliwahi kueleza kuwa kampuni hiyo ni kinara kwa kusafirisha mafuta masafi na kudai machafu.

“Kampuni hii kila mwaka inashinda tenda ya kusafirisha mafuta tu, hivi sasa inachunguzwa na Ewura na Takukuru, nimeagiza mamlaka husika kwamba kampuni hii isijihusishe tena na usafirishaji wa mafuta ili kupisha uchunguzi,” alisema Dk Mwakyembe na kuongeza:

“Kampuni iliyokuwa namba mbili katika utoaji wa tenda ndiyo ipewe jukumu hilo na kama isipopewa ndiyo nitajua kuna kitu kinaendelea.”

Alisema kuwa mwaka 2008 Ikulu ilisema kuwa kampuni ya Singirimo ni ya wafanyakazi na vigogo wa TPA na inasafirisha mafuta masafi na kudai kuwa ni machafu.

Translate