tangazo

Wednesday, August 15, 2012

SIMBA SC KUWATAMBULISHA PHILIP OCHIENG NA DANIEL AKUFFO KWA WANAHABARI LEO

 
 
Salaam,
 
Tunawakaribisha kwenye mkutano wa waandishi wa habari leo saa sita kamili mchana kwenye ofisi za Makao Makuu ya Simba Mtaa wa Msimbazi jijini Dar es Salaam.
 
Dhima Kuu itakuwa ni utambulisho wa wachezaji wetu wapya wawili; Philip Ochieng na Daniel Akuffo.
Msikose tafadhali.
Ezekiel Kamwaga
Ofisa Habari
Simba SC

No comments:

Translate