tangazo

Wednesday, August 15, 2012

MTOTO AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI KIGAMBONI





                                              Gari hilo likiwa mtaroni baada ya kupinduka.




                                    Wananchi wakijaribu kuinua gari hilo kutoa mwili wa mtoto.

                                          Mwili wa mtoto ukiwa umenasa kwenye gari.

                         Mtoto na dereva ambao wamenusurika katika ajali hiyo wakiwa na simanzi

                          Mtoto aliyenusurika akimlilia mwenzake aliyefariki katika ajali hiyo.
                                                         Mwili huo ukitolewa kwenye gari.

                                                 Gari likitolewa katika mtaro huo.
                                   
MTOTO mmoja ambaye hakufahamika jina lake, amefariki dunia katika ajali ya gari eneo la Kigamboni Machava leo wakati gari hilo likitokea Mji Mwema kuelekea Kivukoni. Ajali hiyo imetokea baada ya gari hilo lenye namba za usajili T 645 AVG kufunga breki ghafla kutokana na gari lililokuwa mbele yake nalo kusimama ghafla hivyo kusababisha gari hilo kuingia mtaroni na kupoteza uhai wa mtoto huyo.

No comments:

Translate