tangazo

Sunday, July 1, 2012

MADAKTARI WARUDI KAZINI HOSPITALI YA MUHIMBILI JANA.

 Daktari Charles Some wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili akimtoa damu kwa ajili ya vipimo vya matibabu kwa Bi. Upendo Msangi katika wodi ya kibasila. Madaktari na wauguzi katika hospitali hiyo wamerejea kazini leo (jana) kufuatia agizo lililotolewa naWaziri Mkuu Mizengo Pinda jana (juzi) la kuwataka kurejea katika maeneo yao ya kazi.

No comments:

Translate