tangazo

Monday, July 2, 2012

TIMU YA HISPANIA YAWA MABINGWA KWA MARA NYINGINE KOMBE LA MATAIFA ULAYA MWAKA 2012

 Wachezaji wa timu ya taifa ya hispania wakishangilia ubingwa wao baada ya kuichakaza timu ya taifa ya italy 4-0 katika mchezo wa fainali wa kombe la mataifa ya ulaya 2012.
                         Mchezaji devid silver akishangilia goli alilofunga dhidi ya timu ya itali jana.
                              


No comments:

Translate