tangazo

Wednesday, July 4, 2012

HATIMAE KOCHA MPYA WA YANGA AWASILI NCHINI KWA AJILI YA KUANZA RASMI KUINOA TIMU HIYO.

                                                           kocha mpya wa Yanga  Saintfiet




                                     Mashabiki wa timu ya yanga wakiwa katika furaha baada ya
                                                  kumpokea kocha wa timu yao ya yanga


 Kocha mpya wa Yanga, raia wa Ubelgiji, Tom Saintfiet, mchana huu ametua jijini Dar es Salaam    kwa ajili ya kukinoa kikosi cha timu hiyo. Kocha huyo amepokelewa na viongozi na umati wa   wapenzi wa timu hiyo kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam

1 comment:

Translate