Makamu wa Pili wa Rasi wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi wakatikati akipiga makofi pamoja na Mgeni wake katika Muziki uliotumbuizwa na Kikundi cha Taarab cha Tausi katika Hoteli ya Lagema ilioko Nungwi kaskazini Unguja
-Viongozi mbalimbali kati ya Zanzibar na China wakihudhuria katika Chakula cha Usiku kilichoandaliwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi huko katika Hoteli ya Lagema ilioko Nungwi kaskazini Unguja.
No comments:
Post a Comment